Habari
TAKUKURU YATAKIWA KUFANYA UCHUNGUZI WA MATUMIZI YA FEDHA ZA TASAF ZILIZOTOLEWA KUJENGA ZAHANATI KATIKA KIJIJI CHA MTAKUJA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akisoma kwa makini taarifa ya ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Mtakuja iliyopo Wilaya ya Ruangwa, inayojengwa kwa fedha za TASAF wilayani humo.