Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

‘TAKUKURU RAFIKI’ NI MKOMBOZI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VITENDO VYA RUSHWA NCHINI - Mhe. Chaurembo


Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bi. Neema Mwakalyelye akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya TAKUKURU kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa kikao kazi cha kamati hiyo leo jijini Dodoma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022.