Habari
‘TAKUKURU RAFIKI’ NI MKOMBOZI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VITENDO VYA RUSHWA NCHINI - Mhe. Chaurembo

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ulyankulu, Mhe. Rehema Migilla akichangia hoja wakati wa kikao cha kamati hiyo leo jijini Dodoma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka wa fedha 2021/2022.