Habari
TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUTUMIA MIFUMO SHIRIKISHI YA TEHAMA ILIYOJENGWA NA KUSANIFIWA NA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO

Mkurugenzi wa TEHAMA Serikalini Bw. Priscus Kiwango akieleza maazimio ya washiriki wa kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao kabla ya kikao kazi hicho kufungwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama jijini Arusha.