Habari
TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUTUMIA MIFUMO SHIRIKISHI YA TEHAMA ILIYOJENGWA NA KUSANIFIWA NA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) Mhandisi Benedict Ndomba akieleza lengo la kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao kabla ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama kukifunga kikao hicho jijini Arusha.