Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUTUMIA MIFUMO SHIRIKISHI YA TEHAMA ILIYOJENGWA NA KUSANIFIWA NA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) Mhandisi Benedict Ndomba akieleza lengo la kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao kabla ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama kukifunga kikao hicho jijini Arusha.