Habari
TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUTUMIA MIFUMO SHIRIKISHI YA TEHAMA ILIYOJENGWA NA KUSANIFIWA NA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO

Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao, Dkt. Jasmine Tiisekwa akitoa neno la shukrani kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya waziri huyo kufunga kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao jijini Arusha kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA).