Habari
TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUANDAA NA KUHUISHA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA NA KUIWASILISHA UTUMISHI ILI KUPATA IDHINI YA KUITUMIA

Waandishi wa Habari na baadhi ya Watendaji wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakiwa katika kwenye mkutano na wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama na Vyombo vya Habari jijini Dodoma alipokuwa akielezea utekelezaji wa Mkataba wa Huduma kwa Mteja katika Taasisi za Umma nchini.