Habari
TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUANDAA NA KUHUISHA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA NA KUIWASILISHA UTUMISHI ILI KUPATA IDHINI YA KUITUMIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) jijini Dodoma kuelezea utekelezaji wa Mkataba wa Huduma kwa Mteja katika Taasisi za Umma nchini.