Habari
SERIKALI YATOA RAI KWA WATUMISHI WA UMMA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Afisa Muuguzi kutoka Baraza la Ukunga na Maadili Tanzania, Bi. Rehema Msanjila akielezea faida walizozipata katika kikao kazi cha kusimamia dhana ya utawala bora katika utoaji huduma kwa wananchi na jinsi kitakavyoenda kuleta mapinduzi ya kimkakati.