Habari
SERIKALI YAJA NA MFUMO WA KUONDOKANA NA SUALA LA UPUNGUFU WA WATUMISHI - WADAU WASISITIZWA KUTOA MAONI KUUBORESHA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akiagana na Wakurugenzi wa Ofisi yake mara baada ya kufungua kikao kazi cha wadau kutoka Serikalini kilicholenga kupata maoni na mapendekezo yatakayosaidia kuboresha Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji ya Rasilimaliwatu ili kuondokana na suala la upungufu wa watumishi serikalini.