Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

SERIKALI YAJA NA MFUMO WA KUONDOKANA NA SUALA LA UPUNGUFU WA WATUMISHI - WADAU WASISITIZWA KUTOA MAONI KUUBORESHA


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau kutoka Serikalini mara baada ya kufungua kikao kazi cha wadau ha oleo jijini Dodoma kilicholenga kupata maoni na mapendekezo yatakayosaidia kuboresha Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji ya Rasilimaliwatu ili kuondokana na suala la upungufu wa watumishi serikalini.