Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

SERIKALI YAJA NA MFUMO WA KUONDOKANA NA SUALA LA UPUNGUFU WA WATUMISHI - WADAU WASISITIZWA KUTOA MAONI KUUBORESHA


Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Miundo na Wakala za Serikali, Bi. Jane Kaji akiwasilisha mada ya Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji ya Rasilimaliwatu kwa nadharia leo jijini Dodoma wakati wa kikao kazi cha wadau kutoka Serikalini kilicholenga kupata maoni na mapendekezo yatakayosaidia kuboresha Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji ya Rasilimaliwatu ili kuondokana na suala la upungufu wa watumishi serikalini.