Habari
SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAKARABATI JENGO LA OFISI YA KARAKANA YA NDEGE ZA SERIKALI LILILOJENGWA MIAKA 65 ILIYOPITA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Walala wa Ndege za Serikali mara baada ya kuzindua rasmi jengo la ofisi ya Karakana ya Wakala ya Ndege za Serikali jijini Dar es Salaam.