Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

SERIKALI YA AWAMU YA SITA HAITOWAVUMILIA WATUMISHI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI WANAPOWAHUDUMIA WANANCHI - Mhe. Jenista


Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kuhitimisha Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.