Habari
SERIKALI YA AWAMU YA SITA HAITOWAVUMILIA WATUMISHI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI WANAPOWAHUDUMIA WANANCHI - Mhe. Jenista

Sehemu ya Washiriki waliohudhuria Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.