Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

SERIKALI YA AWAMU YA SITA HAITOWAVUMILIA WATUMISHI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI WANAPOWAHUDUMIA WANANCHI - Mhe. Jenista


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Wananchi na Watumishi wa Umma kabla ya kumkaribisha Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma kufunga Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.