Habari
SERIKALI YA AWAMU YA SITA HAITOWAVUMILIA WATUMISHI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI WANAPOWAHUDUMIA WANANCHI - Mhe. Jenista

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akipata maelezo kwenye banda la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati wa Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama.