Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA MATAPELI WANAOSAMBAZA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU KUWAREJESHA KATIKA UTUMISHI WA UMMA WATUMISHI WALIOBAINIKA KUGHUSHI VYETI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumzia uamuzi wa Serikali wa kuwachukulia hatua matapeli wanaosambaza taarifa za uongo kuhusu kuwarejesha katika Utumishi wa Umma watumishi waliobainika kughushi vyeti na kuondolewa katika Mfumo Shirikishi wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara.