Habari
SERIKALI IMETHIBITISHA KUJALI MASILAHI YA WATUMISHI KWA KUTUMIA SHILINGI BILIONI 50.7 KILA MWEZI KULIPA MISHAHARA MIPYA YA WATUMISHI 229,792 WALIOPANDISHWA MADARAJA

Baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoa wa Ruvuma wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo mkoani Ruvuma iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.