Habari
SERIKALI HAITOMVUMILIA KIONGOZI YEYOTE ATAKAYESHINDWA KUSIMAMIA VIZURI RASILIMALIWATU KWA USTAWI WA TAIFA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, mara baada ya kuwasili Wilayani humo ili kuzungumza na watumishi wa umma wa Halmashauri hiyo, wakati ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi walio katika halmashauri hiyo.