Habari
SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI YATAKIWA KUYAFANYIA KAZI KWA UADILIFU NA WELEDI MALALAMIKO YA WANANCHI DHIDI YA VIONGOZI

Kamishna wa Maadili, Jaji Mstaafu Mhe. Sivangilwa Mwangesi akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama kufungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma uliofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.