Habari
SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI YATAKIWA KUYAFANYIA KAZI KWA UADILIFU NA WELEDI MALALAMIKO YA WANANCHI DHIDI YA VIONGOZI

Sehemu ya wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa baraza hilo uliofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.