Habari
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN : RUSHWA INAZIDHOOFISHA NCHI ZA AFRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Afisa kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Bi. Johari Msirikale alipokuwa akielezea namna taasisi hiyo inavyopamba na rushwa wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Barani Afrika ambayo yamefanyika leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa AICC, jijini Arusha.