Habari
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN : RUSHWA INAZIDHOOFISHA NCHI ZA AFRIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa maelezo ya awali kabla ya kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuzungumza na viongozi mbalimbali wa taasisi za umma, sekta binafsi, wanafunzi na wananchi wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Barani Afrika ambayo yamefanyika leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa AICC, jijini Arusha.