Habari
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWAJENGEA SOKO LA KISASA WANANCHI WA PERAMIHO KUPITIA TASAF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Perahamiho, wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.