Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWAJENGEA SOKO LA KISASA WANANCHI WA PERAMIHO KUPITIA TASAF


Mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Peramiho, akiishukuru Serikali kwa niaba ya walengwa wengine wa mpango huo na wananchi wa Peramiho, Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma kwa kujengewa soko la kisasa.