Habari
RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUTOA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VIONGOZI ILI WAMSADIE KATIKA KUWATUMIKIA VEMA WANANCHI NA KULETA MAENDELEO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifunga mafunzo ya Sanaa ya Uongozi (The Art of Leadership) kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) yaliyotolewa na Taasisi ya UONGOZI jijini Dodoma.