Habari
PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI KUMUWEZESHA KILA MTANZANIA KUSHIRIKI MAPAMBANO DHIDI YA VITENDO VYA RUSHWA - Mhe. Jenista
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamisha wa Polisi, Salum Hamduni Nakala ya Program Ya TAKUKURU RAFIKI wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Viongozi hao uliofanyika jijini Dodoma.