Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI KUMUWEZESHA KILA MTANZANIA KUSHIRIKI MAPAMBANO DHIDI YA VITENDO VYA RUSHWA - Mhe. Jenista


Sehemu ya Viongozi wa TAKUKURU wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipozungumza nao wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Viongozi hao uliofanyika jijini Dodoma.