Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI KUMUWEZESHA KILA MTANZANIA KUSHIRIKI MAPAMBANO DHIDI YA VITENDO VYA RUSHWA - Mhe. Jenista


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa TAKUKURU wakati akifunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Viongozi hao uliofanyika jijini Dodoma.