Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAWAPA MATUMAINI WENYE UHITAJI KWA KUTOA MSAADA WA KIJAMII

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimpatia zawadi mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha Matumaini Mihuji jijini Dodoma alipokitembelea kituo hicho kwa lengo la kutoa msaada wa kijamii.