Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAWAPA MATUMAINI WENYE UHITAJI KWA KUTOA MSAADA WA KIJAMII


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akikabidhi mafuta ya kupikia ikiwa ni  sehemu ya msaada uliotolewa na watumishi wa ofisi yake katika kituo cha Matumaini Mihuji jijini Dodoma.