Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAWAPA MATUMAINI WENYE UHITAJI KWA KUTOA MSAADA WA KIJAMII

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akikabidhi mafuta ya kupikia ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa na watumishi wa ofisi yake katika kituo cha Matumaini Mihuji jijini Dodoma.