Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YATEKELEZA MAELEKEZO YA MHE. RAIS YA KUHUISHA MIUNDO YA MAENDELEO YA UTUMISHI YA KADA ZA MAKATIBU MAHSUSI NA WATUNZA KUMBUKUBU NA NYARAKA ITAKAYOANZA KUTUMIKA MWEZI JULAI, 2023


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wapili kutoka kushoto) akifurahia jambo kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhitimisha kilele cha Mafunzo ya Uadilifu kwa Wanachama wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) na Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA) uliofanyika Zanzibar.