Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA MAADILI YA UTENDAJI KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Mhe. Haroun Ali Suleiman akiteta na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete baada ya kuzungumza na Watunza Kumbukumbu na Nyaraka wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.