Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA MAADILI YA UTENDAJI KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Bw. Omar Gora wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.