Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA MAADILI YA UTENDAJI KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa salamu za Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.