Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASHIRIKI UZINDUZI WA BONANZA LA MICHEZO YA SHIMIWI JIJINI DODOMA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (Wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na sehemu ya watumishi wa ofisi yake mara baada ya kumalizika kwa uzinduzi wa bonanza la michezo ya SHIMIWI lililofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.