Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASHIRIKI UZINDUZI WA BONANZA LA MICHEZO YA SHIMIWI JIJINI DODOMA


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (Wa nne kutoka kushoto) akifanya mazoezi ya viungo wakati wa uzinduzi wa bonanza la michezo ya SHIMIWI lililofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Wengine ni Viongozi wa Serikali waliohudhuria bonanza hilo.