Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASHIRIKI UZINDUZI WA BONANZA LA MICHEZO YA SHIMIWI JIJINI DODOMA


Katibu Mkuu-IKULU, Bw. Mululi Majula Mahendeka akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na watumishi wa ofisi hiyo mara baada ya kumalizika kwa uzinduzi wa bonanza la michezo ya SHIMIWI lililofanyika leo katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.