Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAIDHINISHA VIBALI 930 VYA AJIRA MPYA KWA KADA YA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA KATIKA MWAKA WA FEDHA 2023/24


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Watunza Kumbukumbu na Nyaraka wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 11 wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) uliofanyika jijini Dodoma.