Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA AFISI YA RAIS, KATIBA, SHERIA, UTUMISHI NA UTAWALA BORA (SMZ) YAFANYA KIKAO KAZI CHA MASHIRIKIANO KUHUSU MASUALA YA UTUMISHI

Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) wakiwa kwenye kikao kazi kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kilichofanyika jijini Dodoma.