Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI KUSHIRIKIANA NA TUME YA HAKI ZA BINADAMU KUJENGA UTAMADUNI WA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU, MISINGI YA UTAWALA BORA NA UTU WA MTU

Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu, Mhe. Nyanda Shuli akiwasilisha hoja kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu wa utendaji kazi kilichofanyika katika ofisi ya Mhe. Jenista Mhagama Mtumba jijini Dodoma.