Habari
NYUMBA ZA WATUMISHI WA KITUO CHA AFYA NYABILEZI ZIMEJENGWA NA TASAF KUWAWEZESHA WATUMISHI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Mwonekano wa nyumba za watumishi zinazojengwa katika Kituo cha Afya cha Nyabilezi (Nyabilezi Health Centre) kwa ufadhili wa OPEC kupitia uratibu TASAF.