Habari
NYUMBA 196 ZILIZOJENGWA NA WHI JIJINI DODOMA ZAIKOSHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Investments (WHI) Dkt. Fred Msemwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 196 zilizojengwa na WHI katika eneo la Njedengwa jijini Dodoma kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa mradi huo.