Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

NYUMBA 196 ZILIZOJENGWA NA WHI JIJINI DODOMA ZAIKOSHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA


Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakielekea kukagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 196 zilizojengwa na WHI katika eneo la Njedengwa jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kujiridhisha na utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 iliyotengwa na Serikali kuwezesha ujenzi wa nyumba hizo.