Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

NYARAKA ZINAZOHIFADHIWA KATIKA KITUO CHA KUMBUKUMBU KANDA YA ZIWA ZINARAHISISHA UTENDAJI KAZI WA SHUGHULI ZA SERIKALI KATIKA KANDA HIYO-Mhe. Jenista


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akisisitiza jambo kwa watumishi wa Kituo cha Kumbukumbu Kanda ya Ziwa na baadhi ya viongozi na watendaji wa Serikali jijini Mwanza wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma.