Habari
NYARAKA ZINAZOHIFADHIWA KATIKA KITUO CHA KUMBUKUMBU KANDA YA ZIWA ZINARAHISISHA UTENDAJI KAZI WA SHUGHULI ZA SERIKALI KATIKA KANDA HIYO-Mhe. Jenista

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akionyeshwa moja ya nyaraka zilizoko katika Kituo cha Kumbukumbu Kanda ya Ziwa kilichoko jijini Mwanza wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa kituo hicho.