Habari
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Ridhiwan Kikwete akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Arch. Daudi Kondoro wakati wakimsubiri Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa kukagua jengo hilo katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Ridhiwan Kikwete akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Arch. Daudi Kondoro wakati wakimsubiri Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa kukagua jengo hilo katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma