Habari
NAIBU WAZIRI KIKWETE AWATAKA MAAFISA UTUMISHI KUWA WABUNIFU KATIKA UTENDAJI KAZI KWA MAENDELEO YA TAIFA

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Bw. Baptista Kihanza akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya halmashauri hiyo kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi.