Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

NAIBU WAZIRI KIKWETE AWATAKA MAAFISA UTUMISHI KUWA WABUNIFU KATIKA UTENDAJI KAZI KWA MAENDELEO YA TAIFA


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Wa kwanza kulia) akielekea kwenye ukumbi wa mikutano Mkoa wa Pwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe kwa lengo la kuzungumza na watumishi wa halmashauri hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao. Katikati ni Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Nickson Simon.